Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 6:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Ndipo Yoshua akatangaza kiapo wakati huo, akasema: “Na alaaniwe mbele za Yehova mtu yule atakayesimama na kujenga jiji hili, yaani, Yeriko. Kwa kufiwa na mzaliwa wake wa kwanza na auweke msingi wake, na kwa kufiwa na mwana wake aliye mdogo zaidi na aisimamishe milango yake.”+

  • Yoshua 23:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Basi sasa, tazameni! leo mimi ninaenda katika njia ya dunia yote,+ nanyi mnajua vema kwa mioyo yenu yote na kwa nafsi zenu zote kwamba halikukosa kutimia hata neno moja kati ya maneno yote mema ambayo Yehova Mungu wenu amewaambia ninyi. Yote yametimia kwenu. Halikukosa kutimia hata neno moja kati ya hayo.+

  • Zekaria 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Hata hivyo, je, maneno yangu na masharti yangu ambayo niliwaamuru watumishi wangu manabii,+ hayakuwapata baba zenu?’+ Basi wakarudi na kusema: ‘Kulingana na yale ambayo Yehova wa majeshi alikusudia akilini kututendea,+ kulingana na njia zetu na kulingana na matendo yetu, ndivyo alivyotutendea sisi.’ ”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki