15 Ila tu mnapaswa kujua kabisa kwamba, ikiwa mnaniua, ni damu isiyo na hatia ambayo mnajiletea juu yenu wenyewe na juu ya jiji hili na juu ya wakaaji wake,+ kwa maana kwa kweli Yehova alinituma kwenu niseme masikioni mwenu maneno haya yote.”+
7 Je, haiwapasi kutii maneno+ ambayo Yehova alisema kupitia manabii wa kale,+ wakati Yerusalemu lilipokuwa na watu, likistarehe, pamoja na majiji yake yenye kulizunguka pande zote, na watu walipokuwa wakikaa Negebu+ na Shefela?’ ”+