34 Katika siku zake, Hieli kutoka Betheli alijenga upya Yeriko. Alipojenga msingi wake, Abiramu mzaliwa wake wa kwanza alikufa, na alipoweka malango yake, Segubu mwana wake wa mwisho akafa, kama Yehova alivyokuwa amesema kupitia Yoshua mwana wa Nuni.+