Hesabu 5:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Basi kuhani atamwapisha mwanamke huyo kiapo chenye laana, na kumwambia: “Yehova na akufanye uwe mfano wa laana na kiapo miongoni mwa watu wako, Yehova na akufanye uwe tasa* na tumbo lako livimbe.
21 Basi kuhani atamwapisha mwanamke huyo kiapo chenye laana, na kumwambia: “Yehova na akufanye uwe mfano wa laana na kiapo miongoni mwa watu wako, Yehova na akufanye uwe tasa* na tumbo lako livimbe.