Kumbukumbu la Torati 32:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Waliwatolea dhabihu roho waovu, wala si Mungu,+Miungu ambayo hawakuijua,+Mipya iliyokuja hivi karibuni,+Ambayo mababu zenu hawakuifahamu. 1 Wafalme 12:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Basi mfalme akafanya shauri,+ akatengeneza ndama wawili wa dhahabu+ na kuwaambia watu: “Ni vigumu mno kwenu kwenda Yerusalemu. Tazama, huyu ni Mungu wenu,+ enyi Israeli, aliyewatoa ninyi katika nchi ya Misri.”+ 2 Mambo ya Nyakati 11:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Naye akajiwekea mwenyewe katika cheo makuhani wa mahali pa juu+ na wa roho waovu wenye umbo la mbuzi+ na wa wale ndama aliokuwa ametengeneza.+ Hosea 8:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ndama wako ametupiliwa mbali,+ Ee Samaria. Hasira yangu imewaka juu yao.+ Wataendelea mpaka wakati gani kutoweza kuwa na hali isiyo na hatia?+
17 Waliwatolea dhabihu roho waovu, wala si Mungu,+Miungu ambayo hawakuijua,+Mipya iliyokuja hivi karibuni,+Ambayo mababu zenu hawakuifahamu.
28 Basi mfalme akafanya shauri,+ akatengeneza ndama wawili wa dhahabu+ na kuwaambia watu: “Ni vigumu mno kwenu kwenda Yerusalemu. Tazama, huyu ni Mungu wenu,+ enyi Israeli, aliyewatoa ninyi katika nchi ya Misri.”+
15 Naye akajiwekea mwenyewe katika cheo makuhani wa mahali pa juu+ na wa roho waovu wenye umbo la mbuzi+ na wa wale ndama aliokuwa ametengeneza.+
5 Ndama wako ametupiliwa mbali,+ Ee Samaria. Hasira yangu imewaka juu yao.+ Wataendelea mpaka wakati gani kutoweza kuwa na hali isiyo na hatia?+