Ayubu 40:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Au, je, una mkono kama ule wa Mungu wa kweli,+Na, je, unaweza kutoa mngurumo kwa sauti kama yake?+ Isaya 40:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Tazama! Mataifa ni kama tone kutoka katika ndoo; nayo yamehesabiwa kuwa kama mavumbi membamba juu ya mizani.+ Tazama! Anaviinua visiwa+ kama mavumbi membamba tu. Waebrania 10:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Ni jambo lenye kuogopesha kuanguka mikononi mwa Mungu aliye hai.+
15 Tazama! Mataifa ni kama tone kutoka katika ndoo; nayo yamehesabiwa kuwa kama mavumbi membamba juu ya mizani.+ Tazama! Anaviinua visiwa+ kama mavumbi membamba tu.