Kumbukumbu la Torati 32:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Waliwatolea dhabihu roho waovu, wala si Mungu,+Miungu ambayo hawakuijua,+Mipya iliyokuja hivi karibuni,+Ambayo mababu zenu hawakuifahamu. 2 Wafalme 19:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nao wameiteketeza miungu yao kwa moto, kwa sababu hiyo haikuwa miungu,+ bali kazi ya mikono ya mwanadamu,+ miti na mawe; hivi kwamba wakaiharibu. Matendo 19:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Pia, mnaona na kusikia jinsi si katika Efeso+ tu, bali pia katika karibu wilaya yote ya Asia, Paulo huyu ameshawishi umati mkubwa na kuwageuza kwenye kauli nyingine, akisema kwamba wale waliofanywa kwa mikono+ si miungu.
17 Waliwatolea dhabihu roho waovu, wala si Mungu,+Miungu ambayo hawakuijua,+Mipya iliyokuja hivi karibuni,+Ambayo mababu zenu hawakuifahamu.
18 Nao wameiteketeza miungu yao kwa moto, kwa sababu hiyo haikuwa miungu,+ bali kazi ya mikono ya mwanadamu,+ miti na mawe; hivi kwamba wakaiharibu.
26 Pia, mnaona na kusikia jinsi si katika Efeso+ tu, bali pia katika karibu wilaya yote ya Asia, Paulo huyu ameshawishi umati mkubwa na kuwageuza kwenye kauli nyingine, akisema kwamba wale waliofanywa kwa mikono+ si miungu.