Hesabu 23:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Hajatazama nguvu zozote za uchawi+ juu ya Yakobo,Wala hajaona taabu yoyote juu ya Israeli.Yehova Mungu wake yuko pamoja naye,+Na sauti ya mfalme iko katikati yake. Kumbukumbu la Torati 20:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 kwa maana Yehova Mungu wenu anapiga mwendo pamoja nanyi ili kupigana kwa ajili yenu juu ya adui zenu apate kuwaokoa ninyi.’+ Zaburi 20:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wengine hutaja kuhusu magari na wengine kuhusu farasi,+Lakini sisi, tutataja kuhusu jina la Yehova Mungu wetu.+ Waroma 8:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+
21 Hajatazama nguvu zozote za uchawi+ juu ya Yakobo,Wala hajaona taabu yoyote juu ya Israeli.Yehova Mungu wake yuko pamoja naye,+Na sauti ya mfalme iko katikati yake.
4 kwa maana Yehova Mungu wenu anapiga mwendo pamoja nanyi ili kupigana kwa ajili yenu juu ya adui zenu apate kuwaokoa ninyi.’+
7 Wengine hutaja kuhusu magari na wengine kuhusu farasi,+Lakini sisi, tutataja kuhusu jina la Yehova Mungu wetu.+
31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+