Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 13:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Naye Yehova alikuwa akienda mbele yao wakati wa mchana katika nguzo ya wingu ili kuwaongoza njiani,+ na wakati wa usiku katika nguzo ya moto ili kuwapa nuru ya kwenda wakati wa mchana na wakati wa usiku.+

  • Kutoka 23:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Tazama, ninamtuma malaika+ mbele yako ili akuongoze barabarani na kukuingiza mahali ambapo nimetayarisha.+

  • Kutoka 29:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Nami nitakaa katikati ya wana wa Israeli, nami nitakuwa Mungu wao.+

  • Kutoka 34:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kisha akasema: “Ikiwa, sasa, nimepata kibali machoni pako, Ee Yehova, tafadhali, Yehova na aende pamoja nasi katikati yetu,+ kwa sababu ni watu wenye shingo ngumu,+ nawe utusamehe kosa letu na dhambi yetu,+ nawe utuchukue tuwe mali yako.”+

  • Isaya 8:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Pangeni hila, nayo itavunjwa!+ Semeni neno lolote, nalo halitasimama, kwa maana Mungu yupo pamoja nasi!+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki