1 Samweli 25:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Baada ya hapo karibu siku kumi zikapita, ndipo Yehova akampiga+ Nabali, naye akafa. 2 Samweli 12:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kisha Nathani akaenda zake nyumbani kwake. Na Yehova akampiga+ yule mtoto ambaye mke wa Uria alikuwa amemzalia Daudi, akawa mgonjwa. 1 Wafalme 14:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na siku ambazo Yeroboamu alitawala zilikuwa miaka 22, kisha akalala pamoja na mababu zake;+ na Nadabu+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake. Matendo 12:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Papo hapo malaika wa Yehova akampiga,+ kwa sababu hakumpa Mungu utukufu;+ naye akaliwa na wadudu akakata pumzi.
15 Kisha Nathani akaenda zake nyumbani kwake. Na Yehova akampiga+ yule mtoto ambaye mke wa Uria alikuwa amemzalia Daudi, akawa mgonjwa.
20 Na siku ambazo Yeroboamu alitawala zilikuwa miaka 22, kisha akalala pamoja na mababu zake;+ na Nadabu+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.
23 Papo hapo malaika wa Yehova akampiga,+ kwa sababu hakumpa Mungu utukufu;+ naye akaliwa na wadudu akakata pumzi.