Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 25:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Baada ya hapo karibu siku kumi zikapita, ndipo Yehova akampiga+ Nabali, naye akafa.

  • 2 Samweli 12:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kisha Nathani akaenda zake nyumbani kwake.

      Na Yehova akampiga+ yule mtoto ambaye mke wa Uria alikuwa amemzalia Daudi, akawa mgonjwa.

  • 1 Wafalme 14:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na siku ambazo Yeroboamu alitawala zilikuwa miaka 22, kisha akalala pamoja na mababu zake;+ na Nadabu+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.

  • Matendo 12:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Papo hapo malaika wa Yehova akampiga,+ kwa sababu hakumpa Mungu utukufu;+ naye akaliwa na wadudu akakata pumzi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki