1 Samweli 25:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Baada ya hapo karibu siku kumi zikapita, ndipo Yehova akampiga+ Nabali, naye akafa. 2 Samweli 24:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ndipo Yehova akaleta tauni+ katika Israeli kuanzia asubuhi mpaka wakati uliowekwa, hivi kwamba kati ya watu kutoka Dani mpaka Beer-sheba+ watu 70,000 wakafa.+
15 Ndipo Yehova akaleta tauni+ katika Israeli kuanzia asubuhi mpaka wakati uliowekwa, hivi kwamba kati ya watu kutoka Dani mpaka Beer-sheba+ watu 70,000 wakafa.+