46 Kisha Musa akamwambia Haruni: “Chukua chetezo utie ndani yake moto kutoka juu ya madhabahu+ na kutia uvumba nawe uende kwenye kusanyiko haraka na kufanya upatanisho kwa ajili yao,+ kwa sababu hasira imetoka usoni pa Yehova.+ Pigo limeanza!”
24 Yoabu+ mwana wa Seruya alikuwa ameanza kuhesabu, lakini hakumaliza;+ na kwa sababu hiyo kukawa na ghadhabu+ juu ya Israeli, na hesabu hiyo haikuwekwa katika hesabu ya mambo ya siku za Mfalme Daudi.