Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 16:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Kisha Musa akamwambia Haruni: “Chukua chetezo utie ndani yake moto kutoka juu ya madhabahu+ na kutia uvumba nawe uende kwenye kusanyiko haraka na kufanya upatanisho kwa ajili yao,+ kwa sababu hasira imetoka usoni pa Yehova.+ Pigo limeanza!”

  • Kumbukumbu la Torati 28:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Yehova atasababisha tauni ishikamane nawe mpaka awe amekuangamiza kutoka katika nchi ambayo unaenda kuimiliki.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 21:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ndipo Yehova akaleta tauni+ katika Israeli, hivi kwamba watu 70,000 wakaanguka katika Israeli.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 27:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Yoabu+ mwana wa Seruya alikuwa ameanza kuhesabu, lakini hakumaliza;+ na kwa sababu hiyo kukawa na ghadhabu+ juu ya Israeli, na hesabu hiyo haikuwekwa katika hesabu ya mambo ya siku za Mfalme Daudi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki