Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Yeye Mwamba, kazi zake ni kamilifu,+

      Kwa maana njia zake zote ni haki.+

      Mungu wa uaminifu,+ ambaye hana ukosefu wowote wa haki;+

      Yeye ni mwadilifu na mnyoofu.+

  • Ayubu 34:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ndiyo, kwa kweli, Mungu hatendi kwa uovu,+

      Na Mweza-Yote hapotoshi hukumu.+

  • Maombolezo 3:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Ni kutokana na matendo ya fadhili zenye upendo+ za Yehova kwamba hatujaisha,+ kwa maana hakika rehema zake hazitakoma.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki