2 Mambo ya Nyakati 13:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na Yeroboamu hakuwa na nguvu+ tena katika siku za Abiya; lakini Yehova akampiga,+ hivi kwamba akafa. Ayubu 14:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mwanadamu pia hulala chini wala haamki.+Hawataamka mpaka mbingu itakapokuwa haipo tena,+Wala hawataamshwa katika usingizi wao.+
20 Na Yeroboamu hakuwa na nguvu+ tena katika siku za Abiya; lakini Yehova akampiga,+ hivi kwamba akafa.
12 Mwanadamu pia hulala chini wala haamki.+Hawataamka mpaka mbingu itakapokuwa haipo tena,+Wala hawataamshwa katika usingizi wao.+