Yoshua 6:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na ikawa kwamba mara ya saba makuhani walipiga pembe, ndipo Yoshua akawaambia watu: “Paazeni sauti;+ kwa maana Yehova amewapa ninyi jiji hili.+ Waamuzi 7:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nitakapokuwa nimekwisha kupiga baragumu, mimi na wote walio pamoja nami, ninyi pia zipigeni baragumu, kuizunguka kambi yote,+ nanyi mseme, ‘Upanga wa Yehova+ na wa Gideoni!’”
16 Na ikawa kwamba mara ya saba makuhani walipiga pembe, ndipo Yoshua akawaambia watu: “Paazeni sauti;+ kwa maana Yehova amewapa ninyi jiji hili.+
18 Nitakapokuwa nimekwisha kupiga baragumu, mimi na wote walio pamoja nami, ninyi pia zipigeni baragumu, kuizunguka kambi yote,+ nanyi mseme, ‘Upanga wa Yehova+ na wa Gideoni!’”