5 Na itatukia kwamba watakapopiga pembe ya kondoo-dume, mtakapoisikia sauti ya pembe, watu wote watapaaza kelele kubwa za vita;+ na ukuta wa jiji utaanguka chini,+ kisha watu watapanda, kila mmoja akisonga mbele moja kwa moja.”
10 Basi Yoshua alikuwa amewaamuru watu,+ akisema: “Msipaaze sauti wala kuacha sauti zenu zisikike, na neno lolote lisitoke katika vinywa vyenu mpaka siku nitakapowaambia, ‘Paazeni sauti!’ Ndipo mtakapopaaza sauti.”+
15 Na watu wa Yuda wakaanza kupiga kelele za vita.+ Na ikawa kwamba, watu wa Yuda walipopiga kelele za vita, ndipo Mungu wa kweli akamshinda+ Yeroboamu na Israeli wote mbele ya Abiya+ na Yuda.