30 Kutoka katika fungu ambalo Waisraeli watapewa, mnapaswa kuchukua nafsi moja kutoka kwa kila nafsi 50 za wanadamu, za ng’ombe, za punda, za kondoo, na za kila aina ya mnyama wa kufugwa, na kuwapa Walawi,+ wanaotimiza majukumu katika hema la Yehova la ibada.”+