Hesabu 31:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Na kutoka katika nusu ya wana wa Israeli utachukua mmoja kati ya 50, kati ya binadamu, kati ya mifugo, kati ya punda na kati ya kundi, kati ya kila namna ya wanyama wa kufugwa, nawe utawapa Walawi,+ watunzaji wa wajibu wa maskani ya Yehova.”+
30 Na kutoka katika nusu ya wana wa Israeli utachukua mmoja kati ya 50, kati ya binadamu, kati ya mifugo, kati ya punda na kati ya kundi, kati ya kila namna ya wanyama wa kufugwa, nawe utawapa Walawi,+ watunzaji wa wajibu wa maskani ya Yehova.”+