47 Na katika siku za Zerubabeli+ na siku za Nehemia, Waisraeli wote walitoa mafungu kwa ajili ya waimbaji+ na walinzi wa malango,+ kulingana na uhitaji wa kila siku. Pia, waliweka kando fungu kwa ajili ya Walawi,+ na Walawi waliweka kando fungu kwa ajili ya wazao wa Haruni.