47 Na Israeli wote katika siku za Zerubabeli+ na katika siku za Nehemia+ walikuwa wakitoa mafungu kwa ajili ya waimbaji+ na watunza-malango+ kulingana na uhitaji wa kila siku. Nao walikuwa wakiyatakasa kwa Walawi;+ nao Walawi walikuwa wakiyatakasa kwa wana wa Haruni.