20 Na Yehova akaendelea kumwambia Haruni: “Katika nchi yao hutakuwa na urithi, wala hakuna fungu lolote litakalokuwa lako katikati yao.+ Mimi ni fungu lako na urithi wako katikati ya wana wa Israeli.+
62 Nao walioandikishwa kati yao wakawa 23,000, wanaume wote kuanzia umri wa mwezi mmoja na zaidi.+ Kwa maana hawakuandikishwa katikati ya wana wa Israeli,+ kwa sababu hawakupaswa kupewa urithi wowote katikati ya wana wa Israeli.+
3 Kwa maana Musa alikuwa ametoa urithi wa yale makabila mawili na wa ile nusu ya kabila ng’ambo ile nyingine ya Yordani;+ naye hakuwapa Walawi urithi katikati yao.+