7 Kwa maana Walawi hawana fungu lolote katikati yenu,+ kwa kuwa ukuhani wa Yehova ndio urithi wao;+ na Gadi na Rubeni+ na nusu ya kabila la Manase+ wamechukua urithi wao ng’ambo ya Yordani upande wa mashariki, ambao Musa mtumishi wa Yehova amewapa.”+