Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 18:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa hiyo hakuna urithi utakaokuja kuwa wake katikati ya ndugu zake. Yehova ndiye urithi wake,+ kama vile alivyosema naye.

  • Yoshua 13:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kabila la Walawi peke yake ndilo ambalo hakulipatia urithi.+ Matoleo ya Yehova Mungu wa Israeli yaliyotolewa kwa njia ya moto+ ndiyo urithi wao,+ kama vile ambavyo amewaahidi.+

  • Yoshua 18:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa maana Walawi hawana fungu lolote katikati yenu,+ kwa kuwa ukuhani wa Yehova ndio urithi wao;+ na Gadi na Rubeni+ na nusu ya kabila la Manase+ wamechukua urithi wao ng’ambo ya Yordani upande wa mashariki, ambao Musa mtumishi wa Yehova amewapa.”+

  • Ezekieli 44:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 “ ‘Nao utakuwa urithi wao: Mimi ndiye urithi wao.+ Nanyi msiwape mali yoyote katika Israeli: Mimi ndiye mali yao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki