Esta 9:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Ndiyo sababu Wayahudi wa mashambani, waliokaa katika majiji ya wilaya za utawala zilizo kandokando, walikuwa wakiifanya siku ya kumi na nne ya mwezi wa Adari+ kuwa siku ya kushangilia,+ ya karamu na siku njema+ na ya kupelekeana mafungu+ ya vitu.
19 Ndiyo sababu Wayahudi wa mashambani, waliokaa katika majiji ya wilaya za utawala zilizo kandokando, walikuwa wakiifanya siku ya kumi na nne ya mwezi wa Adari+ kuwa siku ya kushangilia,+ ya karamu na siku njema+ na ya kupelekeana mafungu+ ya vitu.