Zaburi 64:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na mwadilifu atashangilia katika Yehova na kwa kweli atamkimbilia;+Nao wote walio wanyoofu moyoni watajisifu.+ Zaburi 104:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Kutafakari kwangu juu yake na kuwe kwenye kupendeza.+Mimi nami nitashangilia katika Yehova.+
10 Na mwadilifu atashangilia katika Yehova na kwa kweli atamkimbilia;+Nao wote walio wanyoofu moyoni watajisifu.+