Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 32:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Shangilieni katika Yehova na kuwa na shangwe, enyi waadilifu;+

      Na mpige vigelegele vya shangwe, ninyi nyote mlio wanyoofu katika moyo.+

  • Zaburi 58:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mwadilifu atashangilia kwa sababu ameona kisasi.+

      Ataosha miguu yake katika damu ya mwovu.+

  • Zaburi 68:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Lakini waadilifu, na washangilie,+

      Na wasisimuke mbele za Mungu,+

      Na wafurahie kwa shangwe.+

  • Wafilipi 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Shangilieni sikuzote katika Bwana.+ Mara nyingine tena nitasema, Shangilieni!+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki