Kumbukumbu la Torati 12:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nanyi mtashangilia mbele za Yehova Mungu wenu,+ ninyi na wana wenu na binti zenu na watumishi wenu na vijakazi wenu na Mlawi aliye ndani ya malango yenu, kwa sababu hana fungu wala urithi pamoja nanyi.+ Zaburi 32:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Shangilieni katika Yehova na kuwa na shangwe, enyi waadilifu;+Na mpige vigelegele vya shangwe, ninyi nyote mlio wanyoofu katika moyo.+ Zaburi 33:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Pigeni vigelegele vya shangwe, enyi waadilifu, kwa sababu ya Yehova.+Sifa ni jambo linalofaa kwa wanyoofu.+ Wafilipi 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Shangilieni sikuzote katika Bwana.+ Mara nyingine tena nitasema, Shangilieni!+
12 Nanyi mtashangilia mbele za Yehova Mungu wenu,+ ninyi na wana wenu na binti zenu na watumishi wenu na vijakazi wenu na Mlawi aliye ndani ya malango yenu, kwa sababu hana fungu wala urithi pamoja nanyi.+
11 Shangilieni katika Yehova na kuwa na shangwe, enyi waadilifu;+Na mpige vigelegele vya shangwe, ninyi nyote mlio wanyoofu katika moyo.+
33 Pigeni vigelegele vya shangwe, enyi waadilifu, kwa sababu ya Yehova.+Sifa ni jambo linalofaa kwa wanyoofu.+