Ayubu 17:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nikiendelea kungojea, Kaburi* ndilo nyumba yangu;+ Nitatandika kitanda changu gizani.+ Ayubu 30:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa maana najua vema kwamba utanirudisha kwenye kifo,+Na kwenye nyumba ya kukutania ya kila mtu aliye hai. Zaburi 49:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kama kondoo, wao wamewekewa Kaburi;*+Kifo chenyewe kitawachunga;+Nao wanyoofu watawatawala asubuhi,+Nayo maumbo yao hayatakosa kuchakaa;+Kaburi* badala ya makao yaliyo juu ni kwa ajili ya kila mmoja.+ Mhubiri 9:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Yote ambayo mkono wako unapata kufanya, yafanye kwa nguvu zako zote,+ kwa maana hakuna kazi, wala utungaji wala ujuzi+ wala hekima+ katika Kaburi,*+ mahali unapokwenda.+
23 Kwa maana najua vema kwamba utanirudisha kwenye kifo,+Na kwenye nyumba ya kukutania ya kila mtu aliye hai.
14 Kama kondoo, wao wamewekewa Kaburi;*+Kifo chenyewe kitawachunga;+Nao wanyoofu watawatawala asubuhi,+Nayo maumbo yao hayatakosa kuchakaa;+Kaburi* badala ya makao yaliyo juu ni kwa ajili ya kila mmoja.+
10 Yote ambayo mkono wako unapata kufanya, yafanye kwa nguvu zako zote,+ kwa maana hakuna kazi, wala utungaji wala ujuzi+ wala hekima+ katika Kaburi,*+ mahali unapokwenda.+