1 Samweli 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yehova ni Mwenye Kuua na Mwenye Kuhifadhi uhai,+Ni Mwenye Kushusha mpaka katika Kaburi,*+ na Yeye huinua.+ Ayubu 7:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Wingu kwa hakika hufikia mwisho wake na kwenda zake;Ndivyo ambavyo yeye anayeshuka katika Kaburi* hatapanda juu.+
6 Yehova ni Mwenye Kuua na Mwenye Kuhifadhi uhai,+Ni Mwenye Kushusha mpaka katika Kaburi,*+ na Yeye huinua.+
9 Wingu kwa hakika hufikia mwisho wake na kwenda zake;Ndivyo ambavyo yeye anayeshuka katika Kaburi* hatapanda juu.+