Zaburi 49:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kama kondoo, wamepangiwa kwenda Kaburini.* Kifo kitawachunga;Wanyoofu watawatawala+ asubuhi. Kila sehemu ya mwili wao itatoweka kabisa;+Kaburi*+ litakuwa makao yao badala ya jumba la mfalme.+
14 Kama kondoo, wamepangiwa kwenda Kaburini.* Kifo kitawachunga;Wanyoofu watawatawala+ asubuhi. Kila sehemu ya mwili wao itatoweka kabisa;+Kaburi*+ litakuwa makao yao badala ya jumba la mfalme.+