1 Samweli 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yehova huua, naye huhifadhi uhai;*Hushusha Kaburini,* naye hufufua.+ Ayubu 7:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kama wingu linalofifia na kutoweka,Mtu anayeshuka chini Kaburini* harudi juu tena.+