Zaburi 39:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Unamrekebisha mwanadamu kwa kumwadhibu kwa sababu ya kosa lake;+Unaharibu kabisa vitu anavyothamini sana kama nondo* anavyoharibu. Kwa kweli kila mwanadamu ni pumzi tu.+ (Sela)
11 Unamrekebisha mwanadamu kwa kumwadhibu kwa sababu ya kosa lake;+Unaharibu kabisa vitu anavyothamini sana kama nondo* anavyoharibu. Kwa kweli kila mwanadamu ni pumzi tu.+ (Sela)