15 Basi nikapendekeza kushangilia,+ kwa sababu hakuna jambo bora kwa mwanadamu chini ya jua kuliko kula na kunywa na kushangilia; mambo hayo yanapaswa kufuatana naye anapofanya kazi kwa bidii sikuzote za maisha yake,+ ambazo Mungu wa kweli anampa chini ya jua.