24 Hakuna jambo bora analoweza kufanya mtu kuliko kula na kunywa na kufurahia* kazi yake ngumu.+ Hili pia nimegundua kwamba linatoka mkononi mwa Mungu wa kweli,+
12 Nimefikia mkataa kwamba hakuna jambo bora wanaloweza kufanya kuliko kushangilia na kufanya mema maishani mwao,+13 na kwamba kila mtu anapaswa kula na kunywa na kufurahia kazi yake yote ngumu. Ni zawadi kutoka kwa Mungu.+