Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mhubiri 5:18, 19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Hili ndilo jambo ambalo nimeona ni jema na linafaa: kwamba mtu anapaswa kula na kunywa na kufurahia kazi yote ngumu+ anayofanya kwa jasho chini ya jua katika siku chache za maisha alizopewa na Mungu wa kweli, kwa maana hiyo ndiyo thawabu yake.*+ 19 Pia, Mungu wa kweli anapompa mtu utajiri na mali+ pamoja na uwezo wa kufurahia vitu hivyo, anapaswa kuchukua thawabu yake* na kushangilia katika kazi yake ngumu. Hiyo ndiyo zawadi kutoka kwa Mungu.+

  • Isaya 65:21, 22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Watajenga nyumba na kuishi ndani yake,+

      Nao watapanda mashamba ya mizabibu na kula matunda yake.+

      22 Hawatajenga na mtu mwingine akae ndani yake,

      Wala hawatapanda na watu wengine wale.

      Kwa maana siku za watu wangu zitakuwa kama siku za mti,+

      Na watu wangu niliowachagua watafurahia kikamili kazi ya mikono yao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki