12 Nimefikia mkataa kwamba hakuna jambo bora wanaloweza kufanya kuliko kushangilia na kufanya mema maishani mwao,+13 na kwamba kila mtu anapaswa kula na kunywa na kufurahia kazi yake yote ngumu. Ni zawadi kutoka kwa Mungu.+
17 Waagize* wale walio matajiri katika mfumo wa mambo* wa sasa wasijivune* wala wasiutumaini utajiri usiotegemeka,+ bali wamtumaini Mungu, ambaye hutupatia kwa wingi vitu vyote tunavyofurahia.+