Zaburi 37:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mtumaini Yehova na utende mema;+Kaa duniani,* na utende kwa uaminifu.+ 1 Wathesalonike 5:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Hakikisheni hakuna yeyote anayelipa ubaya kwa ubaya,+ bali sikuzote mwendelee kutendeana mema kati yenu na kwa wengine wote.+
15 Hakikisheni hakuna yeyote anayelipa ubaya kwa ubaya,+ bali sikuzote mwendelee kutendeana mema kati yenu na kwa wengine wote.+