Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mhubiri 2:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Hakuna jambo bora analoweza kufanya mtu kuliko kula na kunywa na kufurahia* kazi yake ngumu.+ Hili pia nimegundua kwamba linatoka mkononi mwa Mungu wa kweli,+

  • Mhubiri 3:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Nami nikaona kwamba hakuna jambo bora kwa mwanadamu kuliko kufurahia kazi yake,+ kwa sababu hiyo ndiyo zawadi yake;* kwa maana ni nani anayeweza kumwezesha aone yatakayotukia baada ya kifo chake?+

  • Isaya 65:21, 22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Watajenga nyumba na kuishi ndani yake,+

      Nao watapanda mashamba ya mizabibu na kula matunda yake.+

      22 Hawatajenga na mtu mwingine akae ndani yake,

      Wala hawatapanda na watu wengine wale.

      Kwa maana siku za watu wangu zitakuwa kama siku za mti,+

      Na watu wangu niliowachagua watafurahia kikamili kazi ya mikono yao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki