Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 12:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Mnapaswa kula vitu hivyo mbele za Yehova Mungu wenu mahali ambapo Yehova Mungu wenu atachagua+—ninyi na wana wenu, mabinti wenu, watumishi wenu wa kiume na vijakazi wenu, na Mlawi yeyote aliye ndani ya majiji* yenu; nanyi mtashangilia mbele za Yehova Mungu wenu katika kazi zenu zote.

  • Mhubiri 3:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Nami nikaona kwamba hakuna jambo bora kwa mwanadamu kuliko kufurahia kazi yake,+ kwa sababu hiyo ndiyo zawadi yake;* kwa maana ni nani anayeweza kumwezesha aone yatakayotukia baada ya kifo chake?+

  • Mhubiri 8:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Basi nikapendekeza kushangilia,+ kwa sababu hakuna jambo bora kwa mwanadamu chini ya jua kuliko kula na kunywa na kushangilia; mambo hayo yanapaswa kufuatana naye anapofanya kazi kwa bidii sikuzote za maisha yake,+ ambazo Mungu wa kweli anampa chini ya jua.

  • Matendo 14:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 ingawa hakujiacha bila ushahidi+ kwa kuwa alitenda mema, akiwapa ninyi mvua kutoka mbinguni na majira ya mavuno,+ akiwashibisha kwa chakula na kuijaza mioyo yenu furaha.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki