18 Lakini mbele za Yehova Mungu wako utaila, katika mahali ambapo Yehova Mungu wako atachagua,+ wewe na mwana wako na binti yako na mtumishi wako na kijakazi wako na Mlawi aliye ndani ya malango yako; nawe utashangilia+ mbele za Yehova Mungu wako katika kazi zako zote.