Kumbukumbu la Torati 12:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na hapo mtakula mbele za Yehova Mungu+ wenu na kushangilia katika kazi zenu zote,+ ninyi na nyumba zenu, kwa sababu Yehova Mungu wako amekubariki. Kumbukumbu la Torati 12:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nanyi mtashangilia mbele za Yehova Mungu wenu,+ ninyi na wana wenu na binti zenu na watumishi wenu na vijakazi wenu na Mlawi aliye ndani ya malango yenu, kwa sababu hana fungu wala urithi pamoja nanyi.+ Wafilipi 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mwishowe, ndugu zangu, endeleeni kushangilia katika Bwana.+ Hainitaabishi mimi kuendelea kuwaandikia ninyi mambo yaleyale, bali ni usalama kwenu.
7 Na hapo mtakula mbele za Yehova Mungu+ wenu na kushangilia katika kazi zenu zote,+ ninyi na nyumba zenu, kwa sababu Yehova Mungu wako amekubariki.
12 Nanyi mtashangilia mbele za Yehova Mungu wenu,+ ninyi na wana wenu na binti zenu na watumishi wenu na vijakazi wenu na Mlawi aliye ndani ya malango yenu, kwa sababu hana fungu wala urithi pamoja nanyi.+
3 Mwishowe, ndugu zangu, endeleeni kushangilia katika Bwana.+ Hainitaabishi mimi kuendelea kuwaandikia ninyi mambo yaleyale, bali ni usalama kwenu.