Ayubu 14:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Wanawe wanaheshimiwa, lakini yeye hajui;Wanadharauliwa, lakini yeye hatambui.+ Mhubiri 6:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ni nani anayejua ni jambo gani lililo bora kwa mwanadamu kufanya maishani katika siku chache za maisha yake ya ubatili, anazotumia kama kivuli?+ Kwa maana ni nani anayeweza kumwambia mwanadamu yatakayotukia chini ya jua baada ya kifo chake?
12 Ni nani anayejua ni jambo gani lililo bora kwa mwanadamu kufanya maishani katika siku chache za maisha yake ya ubatili, anazotumia kama kivuli?+ Kwa maana ni nani anayeweza kumwambia mwanadamu yatakayotukia chini ya jua baada ya kifo chake?