Mhubiri 8:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nami nikapongeza kushangilia,+ kwa sababu wanadamu hawana jambo bora chini ya jua kuliko kula na kunywa na kushangilia, na kwamba hilo liambatane nao katika kazi yao ngumu muda wa siku za maisha yao,+ ambazo Mungu wa kweli amewapa chini ya jua.+ Mhubiri Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 8:15 w96 10/1 14 Mhubiri Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 8:15 Furahia Maisha Milele!, somo la 44 Mnara wa Mlinzi,10/1/1996, uku. 14
15 Nami nikapongeza kushangilia,+ kwa sababu wanadamu hawana jambo bora chini ya jua kuliko kula na kunywa na kushangilia, na kwamba hilo liambatane nao katika kazi yao ngumu muda wa siku za maisha yao,+ ambazo Mungu wa kweli amewapa chini ya jua.+