17 “Yehova wa majeshi amesema hivi, ‘Jiendesheni kwa uelewaji, na kuwaita wanawake wanaoimba nyimbo za huzuni,+ ili waje; na iteni wanawake stadi, ili waje,+
20 Lakini lisikieni neno la Yehova, enyi wanawake, na sikio lenu lichukue neno la kinywa chake. Kisha mwafundishe binti zenu maombolezo,+ na kila mwanamke amfundishe mwenzake wimbo wa huzuni.+