5 Pia, wameogopa chochote kilicho juu, na kuna vitisho njiani. Nao mti unaozaa lozi hutoa maua,+ naye panzi hujikokota, na pilipili hupasuka, kwa sababu mwanadamu anakwenda kwenye nyumba yake ya muda mrefu,+ nao waombolezaji wamezunguka barabarani;+
16 “Basi Yehova aliye Yehova Mungu wa majeshi amesema hivi, ‘Kutakuwako maombolezo katika viwanja vyote vya watu wote,+ na katika barabara zote watu watakuwa wakisema: “Ah! Ah!” Nao watamwita mkulima aje kuomboleza,+ na kuwaita wale wenye uzoefu wa maombolezo waje kulia.’+