Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mhubiri 12:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Pia, wameogopa chochote kilicho juu, na kuna vitisho njiani. Nao mti unaozaa lozi hutoa maua,+ naye panzi hujikokota, na pilipili hupasuka, kwa sababu mwanadamu anakwenda kwenye nyumba yake ya muda mrefu,+ nao waombolezaji wamezunguka barabarani;+

  • Amosi 5:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Basi Yehova aliye Yehova Mungu wa majeshi amesema hivi, ‘Kutakuwako maombolezo katika viwanja vyote vya watu wote,+ na katika barabara zote watu watakuwa wakisema: “Ah! Ah!” Nao watamwita mkulima aje kuomboleza,+ na kuwaita wale wenye uzoefu wa maombolezo waje kulia.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki