Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 7:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na ikawa kwamba tangu siku ambayo hilo Sanduku lilikaa katika Kiriath-yearimu, siku zikaendelea kuongezeka, nazo zikawa jumla ya miaka 20, na nyumba yote ya Israeli wakamwombolezea Yehova.+

  • Isaya 29:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Nami itanipasa kufanya mambo yawe magumu+ kwa Arieli, na kutakuwako kilio na maombolezo,+ naye atakuwa kwangu kama jiko la madhabahu ya Mungu.+

  • Mika 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Siku hiyo mtu atapaaza neno la kimethali+ kuwahusu ninyi naye ataomboleza, ndiyo, maombolezo.+ Mtu atasema: “Hakika tumeporwa!+ Anabadili fungu la watu wangu.+ Jinsi anavyoliondoa kwangu! Anawagawia wasio waaminifu mashamba yetu wenyewe.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki