Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 6:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ndipo nikasema: “Ni mpaka wakati gani, Ee Yehova?”+ Kisha akasema: “Ni mpaka majiji yabomoke, yawe bila mkaaji, na nyumba ziwe bila mtu wa udongo, na nchi iharibiwe iwe ukiwa;+

  • Yeremia 25:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 tazama, ninatuma, nami nitazichukua familia zote za kaskazini,”+ asema Yehova, “nitatuma ujumbe kwa Nebukadreza mfalme wa Babiloni, mtumishi wangu,+ nami nitawaleta wao juu ya nchi hii+ na juu ya wakaaji wake na juu ya haya mataifa yote kuzunguka pande zote;+ nami nitawaangamiza na kuwafanya kuwa kitu cha kushangaza na kitu cha kupigiwa mluzi+ na ukiwa mpaka wakati usio na kipimo.+

  • Sefania 1:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Bila shaka nitakimaliza kila kitu kutoka katika uso wa nchi,” asema Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki