16 “Yehova amesema hivi, ‘Tazama, ninaleta msiba+ juu ya mahali hapa na juu ya wakaaji+ wake, naam, maneno+ yote ya kile kitabu ambacho mfalme wa Yuda amesoma;+
11 Ndipo nikasema: “Ni mpaka wakati gani, Ee Yehova?”+ Kisha akasema: “Ni mpaka majiji yabomoke, yawe bila mkaaji, na nyumba ziwe bila mtu wa udongo, na nchi iharibiwe iwe ukiwa;+
8 Urekebishwe,+ Ee Yerusalemu, ili nafsi yangu isije ikaondoka kwako ikiwa imechukizwa;+ ili nisije nikakuweka uwe mahame yenye ukiwa, nchi isiyokaliwa.”+