Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 27:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na sasa mimi mwenyewe nimezitia nchi hizi zote mkononi mwa Nebukadneza mfalme wa Babiloni,+ mtumishi wangu;+ na nimempa hata wanyama wa mwituni ili wamtumikie.+

  • Yeremia 43:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nawe uwaambie, ‘Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi: “Tazama, ninatuma watu na kumchukua Nebukadreza mfalme wa Babiloni,+ mtumishi wangu,+ nami nitakiweka kiti chake cha ufalme juu ya mawe haya ambayo nimeyaficha, na hakika yeye atanyoosha hema lake la fahari juu yake.

  • Ezekieli 29:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Mwana wa binadamu, Nebukadreza mwenyewe,+ mfalme wa Babiloni, alitumikisha jeshi lake utumishi mkubwa juu ya Tiro.+ Kila kichwa kilitiwa upara, na kila bega lilikwaruzwa.+ Lakini kuhusu malipo,+ hapakuwa na malipo yoyote kwa ajili yake na jeshi lake kutoka Tiro kwa ajili ya utumishi aliokuwa amefanya juu yake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki