18 “Mwana wa binadamu, Mfalme Nebukadneza+ wa Babiloni aliamuru jeshi lake lifanye kazi kubwa ya kushambulia Tiro.+ Kila kichwa kilitiwa upara, na kila bega lilisuguliwa na kuchubuka ngozi. Lakini yeye na jeshi lake hawakupata malipo yoyote kwa ajili ya kazi kubwa aliyofanya ya kuishambulia Tiro.