Isaya 51:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Hayo mambo mawili yalikuwa yakikuangukia.+ Ni nani atakayekusikitikia?+ Uporaji na mvunjiko, na njaa na upanga!+ Ni nani atakayekufariji wewe?+ Maombolezo 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Njia za Sayuni zinaomboleza, kwa sababu hakuna yeyote anayekuja kwenye sherehe.+Malango yake yote yamefanywa ukiwa;+ makuhani wake wanaugua.+Mabikira wake wamepata huzuni, naye mwenyewe ana uchungu.+
19 Hayo mambo mawili yalikuwa yakikuangukia.+ Ni nani atakayekusikitikia?+ Uporaji na mvunjiko, na njaa na upanga!+ Ni nani atakayekufariji wewe?+
4 Njia za Sayuni zinaomboleza, kwa sababu hakuna yeyote anayekuja kwenye sherehe.+Malango yake yote yamefanywa ukiwa;+ makuhani wake wanaugua.+Mabikira wake wamepata huzuni, naye mwenyewe ana uchungu.+